Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Baada ya TID, Blue na Harmonize sasa zamu ya Wema

Jumanne , 12th Mei , 2020

Staa wa filamu na Miss Tanzania 2006 Wema Sepetu, amesema endapo Corona ikiisha na utalii wa ndani ukianza, atataka aitwe jina la mnyama Twiga huku akilikataa jina la Nyumbu.

Mrembo na msanii wa filamu Wema Sepetu

Wema Sepetu ametangaza hivyo kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Instagram ambapo ameandika  "Tanzania kuna mbuga za wanyama halafu kuna wanyama binadamu, Corona ikiisha tukianza Utalii wa ndani, mtakapomuona Twiga mumuite Wema, huyu ndiyo mnyama nafanana naye, mambo yenu ya kuniita Nyumbu mnikome jamani mimi naenda kama Twiga"

"Kwanza nimekaa ki Twiga Twiga kabisa Nyumbu sitaki, pia nilikuwa nalizimia lakini tatizo linakuja kwenye mfanano, i am not Nyumbu i am Twiga, Wema the Tz sweetheart, Wema the giraffe, Wema the last born vinaenda ila Wema the Nyumbu mmmmmh sijui ila sina uhakika saaana ila fresh tu, kwani kitu gani" ameongeza.

Kwa hiyo Wema Sepetu anaungana na wasanii kama TID, Mr Blue, Harmonize, Afande Sele, Country Boy, Young Lunya na Isha Mashauzi kama wasanii ambao wanajiita majina ya wanyama.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali