Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Baba wa watoto 100 na wake 19 aongeza wake wengine

Jumanne , 15th Oct , 2019

Kutokea  katika kijiji cha Ruyonza nchini Uganda kuna taarifa ambayo imezua gumzo mitandaoni kuhusu mzee mwenye umri wa miaka 94 aitwaye Nulu Ssemakula aliyeamua kuongeza wake wengine wanne huku akiwa tayari na wake 19 na jumla ya watoto 100.

Mzee Nulu Ssemakula akiwa na sehemu ya familia yake

Mzee huyo anatokea katika kijiji ambacho sifa yake kubwa kwa wanaume ni kumiliki mwanamke zaidi ya mmoja, ambapo mawnyewe amesema lengo lake ni kuwa na familia kubwa zaidi, akiamini ni utajiri tosha na amepanga kuongeza wengine endapo ataendelea kuwa hai.

"Nilipoteza wake zangu wanne ambao waliniacha na kuniachia watoto tu, nitaendelea kuoa nikiwa hai. Nataka kuwa na watoto wengine na pia nitaoa tena kwa majaliwa ya Mwenyezi Mungu", amesema mzee Ssemakula.

"Naamini mali yangu ipo kwenye watoto na wanawake wangu, huu ndiyo utajiri wangu wa kweli",  ameongeza mzee huyo huku akionekana kujiamini.

Kwa sasa amesema anaishi na watoto wake 66, wengine wameshakuwa watu wazima wameanzisha familia zao, mtoto wake wa mwisho ana umri wa miezi 10, huku mke wake mdogo zaidi akiwa na miaka 24.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali