Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Dereva aliyemuachia Nyani kuendesha Basi afukuzwa

Jumatatu , 8th Oct , 2018

Dereva aliyemruhusu Nyani kuendesha basi lililokuwa limebeba abiria nchini India hatimaye amefukuzwa kazi baada ya video ya tukio hilo kusambaa mitandao ya kijamii na kuwafikikia serikali na wamiliki wa basi hilo.

Picha ya dereva na Nyani

Katika video iliyokuwa ikisambaa mitandao ya kijamii ilimuonesha dereva Bw. Prakash mwenye umri wa miaka 36, akimuachia nyani kuketi juu ya uskani wa basi hilo na kuendesha huku dereva huyo akionekana kufurahishwa na kitendo hiko.

Msemaji wa kampuni ya usafiri wa barabara nchini India Bw. Kartanaka amesema kitendo hicho kimesababisha wamiliki na serikali kumfukuzwa kazi dereva wa basi hilo ambalo lilikuwa na abiria takribani 30, kitendo ambacho kina kinzana na kanuni na taratibu za usafiri nchini humo.

Wasomaji wa mitandao ya kijamii kutoka nchini humo wameoneshwa kukasirishwa na kitendo cha kukamatwa kwa dereva huyo, huku wengi wao wakidai alipaswa kuonywa na sio kufukuzwa kazi.

"Angepewa onyo na aambiwe asirudie, mmoja wa wasomaji aliandika katika ukurasa wake wa Twitter".

Kwa mujibu ya walioshuhudia, wanasema nyani alipanda gari na abiria mwingine lakini akakataa kukaa nyuma na akachagua kiti cha dereva,nadaiwa kwamba nyani huyo alipofika kwenye kituo chake alishuka na kumuacha dereva akiendelea na safari yake.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi