Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

DNA yatatua kitendawili cha mapacha

Jumapili , 16th Jun , 2019

Majibu ya vipimo vya vinasaba (DNA) vimetatua kitendawili kikubwa ambacho wengi walikuwa wakisubiri jibu lake, la iwapo mabinti wawili Melon na Sharon kutoka Kakamega nchini kenya, ni mapacha ama la

Majibu ya vipimo hivyo yamethibitisha kuwa Sharon Mitekwa na Melon Lutenyo walizaliwa na mama mmoja, ambaye ni Bi Rosemary Khaveleli.

Matokeo hayo pia yameonesha kuwa msichana Mevis Imbaya aliyekuwa akiishi na Melon kama pacha mwenzake, si dada yao halisi, na Bi Angeline Omina, aliyekuwa akiishi na Sharon kama mama yake mzazi katika mtaa wa Kangemi, Kaunti ya Nairobi ndiye mama mzazi wa Mevis.

Uchunguzi huo uliendeshwa na Dkt Ahmed Kalebi kutoka maabara ya Lancet, juu ya  mapacha ambao walitenganishwa katika hali tatanishi mnamo 1999, mara tu baada ya kuzaliwa katika Hospitali ya Rufaa ya Kakamega, na kuonesha kuwa chembechembe zao za DNA zinalingana kwa asilimia 100, hali inayothibitisha kuwa ni pacha halisi.

Wawili hao walikutana kwa mara ya kwanza mnamo Aprili kupitia mtandao wa Facebook miaka 19 baada ya kuishi katika makazi na maisha tofauti, baada ya pacha mmoja kuona mtu aliyefanana naye kwa kila kitu na kuamua kumuomba urafiki, na ndipo alipobaini kuwa anafanana na si kwa bahati mbaya bali kuna kitu zaidi na kuanza kufuatilia, ndipo ikagundulika walizaliwa siku moja na hospitali moja.

Walijikuta wakilelewa na mama tofauti, jamboa mbalo mpaka sasa halijajulikana kilichotokea mpaka watoto hao kubadilishiwa wazazi, na kulelewa na watu ambao si wazazi halisi.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali