Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Emmanuel Mbasha kuhusu kumuoa Muna Love

Jumamosi , 8th Feb , 2020

Msanii wa Injili Emmanuel Mbasha, amewajia juu watu ambao wanamuuliza kuhusu hatma ya Muna Love ambaye taarifa zinasema ameolewa na kubadili dini kuwa muislam na video zinamuonyesha akifunga ndoa ya kiislam.

Kushoto pichani ni Emmanuel Mbasha, kulia ni Muna Love

Taarifa hizo za kuolewa na kubadilisha dini zilisambaa zaidi siku ya jana Februari 7,2020  kupitia mitandao ya kijamii, baada ya Muna Love kuomba kupumzika kutumia mtandao wa Instagram kwa muda.

Kwa Upande wa Emmanuel Mbasha amefanunua zaidi juu ya suala hilo na ametaka watu wamkome kumuuliza kwa sababu sio mume wake na anachojua kuwa Muna ni mpambanaji wa Yesu na mfanyabiashara.

"Jamani nawaomba sana naona simu nyingi na message kuhusu kutaka  interview, nasema mimi sio mme wa Muna mnikome kama anaolewa nifanyeje sasa, ninachokujua kuwa Muna ni kamanda wa Yesu, mpambanaji, na mfanyabiashara. Huko ana-shoot filamu yake, msinisumbue  nazima simu imekua kero msinisumbue mpigieni mwenyewe" ameandika Emmanuel Mbasha

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali