Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Facebook kuondoa 'Likes'?

Jumatano , 4th Sep , 2019

Mtandao wa Facebook ambao ni wamiliki pia wa Instagram na WhatsApp huenda wakaja na mpango kama ambao unaendelea kufanyiwa majaribio Instagram wa kuficha uwezo wa mtu kuona 'Likes'.

Picha ya mfano wa Likes za Facebook

Tangu mwezi Julai uwezo huo ulianza kufanyiwa majaribio Instagram katika nchi kadhaa, na taarifa zinaonesha kupokelewa vizuri na watu lakini bado haujafanywa rasmi kwa watumiaji wote duniani.

Taarifa ya hivi karibuni ni kuwa mpango huo pia unaweza ukahamia Facebook, ambapo mtu atakuwa ana uwezo wa kuona idadi ya watu waliotoa Komenti lakini hawezi kuona idadi ya 'Likes' na uwezo huo utabakia kwa mtumiaji mwenyewe aliyeweka Post ndiyo atakuwa anaona idadi ya watu walio 'Like'.

Sababu za kutaka kuleta mabadiliko hayo zinatajwa ni kuweka umakini zaidi kwa watu kutazama kile kinachoandikwa kuliko picha, na kuondoa hali ya mtu kujisikia vibaya hasa pale mtu Post yake inapoonekana kushindwa kufanya vizuri.

Lakini mpango huo umekosolewa na baadhi ya wachambuzi wa masuala ya teknolojia, kwamba ni janja ya Facebook kutaka kujiongezea mapato zaidi.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi