Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Fahamu kuhusu video za faragha zitumwazo mtandaoni

Alhamisi , 25th Apr , 2019

Kutokana na ukuaji wa kasi wa teknolojia hivi sasa, kila kitu ninaweza kufanyika pasipo hata watu kuonana kwa macho.

Baadhi ya mitandao ya kijamii

Hiyo pia hutokea hata kwa wapenzi ambao wanaweza kuwasiliana moja kwa moja bila kuonana, ikiwa ni pamoja na kutumiana picha, sauti na video kwa lengo la kufurahishana. Mara nyingine picha hizo zinaweza kuwa si nzuri sana kutumwa mtandaoni kwa kuwa ni za faragha.

Akilielezea hilo katika kipindi cha Mjadala cha EATV, mtaalam wa masuala ya kimtandao, Maxence Melo amesema kuwa kitu kinachosababisha ujumbe wowote kuvuja mtandandaoni pasipo wahusika kusambaza ni kuingiliwa kwa mawasiliano ya kimtandao.

"Si rahisi kwa ujumbe wowote wa faragha kuvuja mtandaoni pasipo watu waliotumiana kuhusika au kuwepo kwa pengo linaloruhusu kwa sababu unapokuwa unatuma ujumbe wowote mtandaoni, unaweza ukaingiliwa na mtu wa kati ambao ni wadukuzi", amesema.

"Lakini pili, kifaa cha mhusika kinaweza kikawa ni sababu pia ya kuvuja kwa sababu watu wengi wanaotumia hasa simu za android wanapakua 'application' mbalimbali ambazo zingine zinachukua taarifa za mtumiaji na kutuma kwa watu wengine bila ya mtumiaji kujua", ameongeza.

Mtaalam huyo amesisitiza kuwa si salama kwa wapenzi kutumiana picha mtandaoni hata kama wanaaminiana na kusisitiza kuwa ni kosa kwa mujibu wa sheria za mtandao, kipengele cha 14 kwa mtu kuchukua video ya faragha na kuitengeneza kwa lengo lolote na adhabu yake ni kifungo kisichopungua miaka 7 au faini isiyopungua milioni 20.

Bonyeza hapa chini kutazama zaidi.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali