Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Google yatangaza dili hili kwa watu wa Africa tu

Alhamisi , 13th Feb , 2020

Kampuni ya Google imetangaza kutoa kiasi cha Dola Milioni 1, sawa Tsh Bilioni mbili kwa mtu yeyote kutoka Bara la Africa atakayetoa wazo la kibunifu kuhusu usalama wa matumizi ya internet.

Picha ya mtandao wa Google

Kampuni ya mtandao huo imesema kuwa wanajua Africa kuna watumiaji wengi wa internet hivyo wanataka kijana yeyote kutoka Africa, ambaye ataweza kuleta mawazo kuhusu utoaji wa taarifa na kuboresha usalama wa faragha kwa watumiaji wake kama picha, video, na sauti.

Akizungumza na Planet Bongo ya East Africa Radio mjasiriamali wa teknolojia John Haule, amesema.

"Google watatoa tarehe maalum ya kutuma maombi na mwisho wa kutuma maombi hayo, atakayefanikiwa kutuma mawazo mazuri yatafanyiwa kazi na atakayeshinda atakabidhiwa kiasi hicho cha pesa" amesema Haule.

Aidha kwa upande wa mtandao wa Google wenyewe wamesema "Tunataka kuifanya internet iwe ya kushangaza na kutoa msaaada kwa watoto wa baadaye kuwa werevu kwa kutumia mbinu ya kuchambua, kutathmini  habari zao na kuchukua tahadhari kwa vyombo vya habari ili kulinda na kutunza mambo binafsi"

Google ni mtandao unaojitegemea ambao unamiliki mitandao mongine kama Youtube, G-mail na Google Chrome.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali