Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ifahamu jamii ya Melanesians

Jumanne , 26th Mar , 2019

Ushawahi kujiuliza kwanini mtu anakuwa na macho ya rangi tofauti mfano Blue, kijani, kijivu au brown!, au mtu ambaye si chotara akawa na nywele za kizungu, yaani zile zinazoitwa 'blonde'? Nakufahamisha juu ya watu hao wanaoitwa Melanesians

Ni nadra sana kukutana na mtu ambaye hana asili ya Uingereza akawa na nywele za 'blonde', hususan akiwa na rangi nyeusi ya ngozi. Lakini pia ni nadra sana na huenda ukashtuka ukikutana na mtu mwenye macho ya rangi tofauti na iliyozoeleka na wengi.

Melanesians barani Australia

Hii ni kawaida kwa watu wa jamii ya bara la Australia, watu hao wamekuwa na kitu ambacho mpaka sasa wanasayansi wamewaweka kwenye kundi la kipee, kutokana na utofauti wao na binadamu wengine.

Watu hao ambao hupatikana  katika visiwa vya Solomon, Pijin, Bislama, Papua, Indonesia Mashariki, Vanuatu na Fiji, wana upekee huo wa kuwa na macho ya blue na nywele za aina hiyo ya'blonde'.

Mtoto mwenye asili ya Melanesians

Watu hawa wanajulikana kwa jina la 'Melanesians', na mpaka sasa wanasayansi wameshindwa kujua kwa nini wana macho ya kipekee na nywele za utofauti na watu wengine wenye rangi nyeusi.

Hata hivyo vinasaba vya watu hawa haviko Australia pekee, kwani hata mabara mengine wapo ingawa ni kwa uchache sana, na iwapo utakutana nao lazima utapigwa na butwaa au ukadhani ni walemavu.

Miongoni mwa watu maarufu wenye upekee wa namna hii ni pamoja na msanii wa hip hop wa Marekani, Eminem, Muigizji Paul Walker, mcheza mpira wa Kikapu Steve Curry.

Msichana mwenye asili ya Melanesians

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi