Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ifahamu tamaduni hii ya kupasua midomo

Ijumaa , 12th Oct , 2018

Jamii moja katika kisiwa cha Phuket  kusini mwa Thailand imeendesha tamasha la kitamaduni na la kidini linalojulikana kwa jina la ‘Taoist’ kwaajili ya kujitakatisha dhidi ya madhambi, ambapo washiriki husheherekea kwa kujichoma mishale, visu  na mapanga katika mashavu yao.

Tamasha hilo lenye asili ya China hufanyika mwezi Oktoba kila mwaka, ambapo tamasha la mwaka huu limefanyika kuanzia 9, Oktoba likihudhuriwa na jamii kubwa ya Wachina wanaoishi katika eneo hilo .

Moja ya matukio ambayo hufanyika katika tamasha hilo ni pale ambapo mtu mmoja hujichoma visu vingi vikali katika mashavu yake na mwingine hushikilia kichwa chake na kukata ulimi wa mtu huyo kwa kutumia shoka, na kumwacha akibubujikwa na damu kifuani.

Watu hao waliokatwa vitu vikali ni miungu ambao hutembea ardhini wakionesha miujiza yao pamoja na vipande vya nyama vilivyokatwa, ili madhambi ya watu wao yasafishwe”, amesema Pathompong Reanthong, ambaye ni mmoja ya waandaaji.

Malengo ya sherehe hii ni kwaajili ya watu kuona imani zao, na kujiepusha na matumizi ya nyama. Ni sherehe ya kuondoa mambo mabaya ”, ameongeza.

Washiriki wa sherehe hiyo hawaruhusiwi kula nyama wakati wa mashindano. Kwa mujibu wa washiriki, sherehe hiyo huwakumbusha mwaka 1825 ambapo wageni wa kwanza raia wa China katika eneo hilo walipitia matukio hayo.

Jamii hiyo inaamini katika milo ya mboga za majani na matunda, ikiwa ni katika namna ya kuboresha afya zao.

Kupita juu ya makaa ya moto ni njia ya mwisho kabisa kwa washiriki wa tamasha hilo, tukio ambalo ndilo linalotarajia kuhusisha maelfu ya watu.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke