Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Ipo siku nitakuwa Rais wa Tanzania" - Haji Manara

Ijumaa , 11th Dec , 2020

Msemaji wa Klabu ya Simba Haji Manara ametoa kali ya mwaka kwa kusema Mungu akimpa uhai na majaliwa ataenda kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa miaka ijayo ila bado hajajua itakuwa lini.

Msemaji wa Klabu ya Simba

Akifunguka hilo wakati anapiga stori na PlanetBongo ya East Africa Radio Haji Manara amesema kwa mfano akiwa Rais mtaji wake wa kwanza ukiacha masuala ya siasa na kazi za maendeleo ni kuwekeza kwenye mpira wa miguu.

"Mungu akinipa uhai na majaaliwa, chukueni haya maneno yangu leo, naenda kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mungu anipe uhai tu, sijui ni lini ila nitakuwa tu"

"Hakuna kitu kinachopendwa Tanzania kama michezo hasa mpira wa miguu, kwa mfano mimi nikiwa Rais mtaji wangu wa kwanza nje ya siasa na kazi za maendeleo nitawekeza kwenye mpira wa miguu" amesema Haji Manara 

Aidha amendelea kusema "Yanga na Simba zikishinda watu wanakimbia maandamano bila ya kulipwa au kuvalishwa fulana, angalia Simba tunapoenda mikoani ile sapoti tunayopata kwa mashabiki hata nikipata fursa ya kuzungumza na Rais nitamuachia maneno hayo"

Zaidi tazama hapa chini kwenye video.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali