Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kichanga chapotea kimaajabu

Ijumaa , 26th Apr , 2019

Hospitali moja katika Kaunti ya Machakos nchini Kenya imeingia matatizoni baada ya kupotea kwa kichanga ambacho kimezaliwa hapo, na mama aliyekwenda kujifungua.

Ndugu wa mwanamke ambaye amepotelewa na mtoto wamesema kwamba waliambiwa na wauguzi kuwa mtoto alifariki, lakini mpaka sasa hawajakabidhiwa mwili wake kama inavyotakiwa.

Ndugu wasimulia kuhusu kichanga chao

“Dada yangu alijifungua kwa upasuaji, akawataka waoneshwe mwili wa mtoto wake, lakini mpaka sasa uongozi wa hospitali umeshindwa kufanya hivyo, badala yake wanatuzungusha tu”, amesema mmoja wa ndugu hao.

Hata hivyo Mkurugenzi wa Afya wa Kaunti ya Machako Dr. Joel Mwova amesema kwamba tukio hilo ni kwlei limemfikia mezani kwake na lipo kwenye uchunguzi.

“Nilipewa namba ya mmoja wa ndugu, nikampigia na kuambiwa kuwa yuko kwenye kikao na wakuu wa idara nyingine, nataka nipate ripoti kutoka kwa kiongozi wa wauguzi, ndipo nitoe ripoti yangu”, amesema Dr. Mwova.

Mkurugenzi huyo ameongeza kwamba iwapo ikithibitika upotevu wa mtoto huyo hilo ni kosa la jinai, ambalo sheria itatakiwa ifuatwe kwa wahusika.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi