
Tafiti nyingine pia zinaunga mkono hili mfano ripoti ya Credit Suisse (2014) na McKinsey & Company zinasema makampuni yenye wanawake wengi kwenye bodi hufanya vizuri zaidi kibiashara.
Hitimisho:
Ni muda wa wanawake kutopewa nafasi kwa huruma, bali kwa sababu michango yao ni ya dhahabu katika maamuzi.