Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kuwa na wapenzi wengi ni ugonjwa wa akili

Jumatano , 10th Oct , 2018

Kitendo cha kumsaliti mpenzi wako au Kutamani kuwa na mpenzi zaidi ya mmoja kumetajwa ni miongoni mwa matatizo yanayoweza kusababishwa na magonjwa ya akili endapo mshiriki wa vitendo hivyo atashinikizwa na matamanio ya kimwili yatakayotokana na hali ya mazingira.

Hii ni kwa mujibu  wa mtaalamu wa magonjwa ya akili kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili, Debora Lwambano ambaye amesema kuwa hali hiyo hutokea pale mtu anapoendeshwa na hisia bila yeye mwenyewe kujijua.

Kuna vitu vingine ni tabia ila ukiona mtu anatamani kuwa na mpenzi zaidi ya mmoja au kushirikii mapenzi zaidi ya mtu mmoja nayo tunaweza kusema ni ugonjwa wa akili kama yatasababishwa na mahitaji ya kimwili yanayotokana na mtu kuwa mtumiaji sugu jambo fulani”, amesema Debora.

Katika matatizo ya akili ya sonona na mania, kama mtu anafanya mapenzi zaidi ya mtu mmoja, ina dalili zake na inaweza isipatikane moja moja, unakuta mtu anakuwa na hamu sana ya kufanya mapenzi zaidi ya mpenzi mmoja ila lazima tuangalie na dalili zingine.” amesema.

Mbali na kushiriki mapenzi zaidi ya mpenzi mmoja pia tabia ya watu wengi kushiriki punyeto (masturbation) pia ni matatizo yaanayosababishwa na ugonjwa wa akili.

Kwa haraka haraka tunaweza kusema punyeto pia inatokana na matatizo ya ugonjwa wa akili, yanayosababishwa na mtu  kuangalia picha na video za ngono mara kwa mara, na kumfanya mtu kuwa mlevi wa kushiriki kitendo hicho kunakoweza kumpelekea kushindwa kushiriki kwa muda mrefu kwenye tendo lenyewe”, ameongeza Debora.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali