Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Maajabu: Watoto wachanga wazikwa ndani ya mti

Jumatatu , 1st Oct , 2018

Nchini Indonesia kuna idadi nyingi ya makabila ambayo miongoni mwao mengine yakiwa makubwa yaani yenye idadi kubwa ya watu, na mengine yakiwa makabila madogo madogo kutoka sehemu mbali mbali za nchi hiyo.

Moja ya mti wenye makaburi.

Kabila la Toraja ni moja ya kabila kubwa nchini humo, ambalo limekuwa na tamaduni mbali mbali zenye kushangaza, hii ni kutokana na matendo yao kuwa ya kipekee na utofauti mkubwa na dunia inavyokwenda.

Kabila hili ambalo linapatikana kwenye makazi ya Tana, Kusini mwa Saluwesi nchini Indonesia, lenye idadi ya watu zaidi ya milioni moja..

Kabila hilo ni maarufu kutokana na mila zao ikiwemo kufukua miili ya wafu na kuivesha nguo mpya, kisha kuifanyia sherehe.

Licha ya mila hiyo, watu wa kabila la Toraja wana utamaduni ambao unashangaza kidogo kwa huku kwetu, huenda wao wanaona ni kawaida lakini kwa Afrika na dunia ni kitu cha ajabu.

Utamaduni huo ni kwamba mtoto mdogo ambaye bado hajaota meno akifariki, huwa hazikwi ardhini kama watu wengi wanavyozika duniani, bali wao huwa tofauti, mama wa mtoto humchukua mtoto na kumviriga kwenye nguo maalum, na kisha kwenda msituni, msituni huko kuna miti ambayo imetengewa maalum kwa ajili ya kuwazika watoto hao.

Mama akishafika msituni huchimba tundu kubwa kwenye mti na kumtumbukiza mtoto huyo, kisha kulifunga. Mti unapoendelea kukua na kujiziba lile tundu, huamini mtoto huyo amechukuliwa na mti huo kama asili ya dunia. (nature).

Huo ndio utaratibu wao kwa watoto wote wanaozaliwa kwenye jamii hiyo ya Kiindonesia, inayopatikana huko Tana kusini mwa Saluwesi.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa