Jumamosi , 23rd Oct , 2021

Mama wa miaka 23 Miss Mercy Okon kutoka nchini Nigeria amemuuza mtoto wake mwenye miezi mitatu kwa pesa ya Nigeria N 150,000 sawa na Tsh 841,036.

Picha ya Mama aliyemuuza mwanaye

Mama huyo anasema amefanya kitendo hicho kwa ajili ya kujisaidia kulipa kodi ya nyumba, kukabiliana na bili zingine kwa kuwa yeye ni maskini.

Zaidi fuatilia hapa kwenye video.