Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mamalishe wahitimu masomo yao K.I.T.M

Ijumaa , 2nd Feb , 2024

Huwenda kila mtu anajua kupika, ila linapokuja suala la kiwango gani na unampikia nani? ndipo tui na machicha yanapojitenga.

 

Tanzania ilifurahi pale EastAfricaRadio ilipokuja na kampeni ya #MamaLishe ilipochukua jukumu la kuthamini kile wanachokifanya, zilikuwa ni wiki za mafuta kuchemka, jasho kutiririka na nafsi kujawa na woga kwani ilitakiwa wapatikane wachache kati ya wengi waliyojitokeza.

Tukasimama kwenye #KijasiriZaidi tukaonyesha ni namna gani #TogetherTunawakilisha wadau na wahafidhina wafia mapishi walikuwa nasi kwenye kuwapongeza na kuwatia moyo #MamaLishe 

Tumaini jipya likazaliwa kwa #MamaLishe waliopata wasaa wa kurudi darasani, ishukuriwe @kitm_dsm mapishi yalisomwa kwa kiwango cha juu. utofauti na mabadiliko kwenye mapishi ukaonekana ndani yao.

Rasmi leo wamehitimu na kuhesabiwa rasmi kama wataalamu kwenye suala la mapishi, Msimu wa nne siyo ukomo kwenye #MamaLishe kwani #MamaMia iko kumshika mkono kila mwanamke anayeonyesha juhudi kwenye jamii yake.

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari