Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mastaa waililia Afrika Kusini

Jumanne , 3rd Sep , 2019

Nchini Afrika Kusini kuna machafuko na vurugu ambazo zinaendelea kutoka kwa wenyeji ambao wanachochea suala la ubaguzi wa rangi kwa kuwapiga, kuwaibia na kuwachoma moto wageni na raia ambao sio wa nchi hiyo.

Wasanii na watu maarufu

Afrika Kusini ina idadi ya wageni na wahamiaji wapatao milioni 2.3, kutokea mataifa mbalimbali ikiwemo China, India, Marekani na watu wa mashariki ya kati kutokea bara la Ulaya.

Hii ni orodha ya mastaa ambao wameandika kupitia mitandao ya kijamii kwa kuonyesha kuguswa, kutokana na hali inayoendelea nchini humo.

Nikki wa Pili "Kinachotokea SA ni moja ya sifa ya kizazi cha sasa ni mihemko na kutokuwepo na fursa kubwa ya kujielemisha. Moja ya sifa kubwa ya babu zetu wakati wa utumwa au ukoloni kina Malcom X, Samora, Mwalim ilikua ni kujielimisha na kupambana kujifunza".

Skales  "Mnasema wageni wamekuja kuchukua kazi zenu, Wanawake wenu, Wanaleta uhalifu kwenu. Ila nyinyi Waafrika kusini ndiyo mnawaua, mnawakaba, na kuwabaka kila siku".

Zari The Bosslady  "Nanyoosha mikono yangu juu, wenyeji wanafanya mambo ya kibaguzi kwa kuwashambulia wenyeji kwa kuwapiga kuwaibia. Kemea Ubuguzi wa rangi".

Rosa Ree  "Mandela amka uone wanao wanavyofanya kwenye nchi uliyoteseka na kuipigania, ni muda halali wa Yesu kurudi kutusaidia, Eh Mwenyezi Mungu tusamehe kwani hatujui tuyafanyayo".

Yemi Alade "Inatosha sasa hali hii itaanedelea hadi lini, Africa ndiyo nyumbani kwetu, tunatakiwa kuitwa umoja wa mataifa ya Africa hatuitaji kuona umwagaji wa damu tena".

 

 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi