
Akivaa viatu vya kiume anapata maumivu miguuni.
Mchungaji huyo anasema akivaa viatu vyake kiume anapata maumivu makali mguuni, baadae akapata maono kutoka kwa Mungu ya kuvaa viatu vya kike na tangu aanze kuvaa viatu vya kike hajawahi kupata maumivu yoyote mguuni.