Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mfahamu Mzee aliyetembea kwa miguu Kilwa - DSM

Jumatano , 25th Sep , 2019

Watanzania wametakiwa kuenzi fikra za muasisi wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kwa vitendo, ili kufikia misingi ya umoja na mshikamano katika Taifa.

Akizungumza leo Septemba 25, 2019 Mzee Ally Issa Gereku, aliyewahi kutembea kwa mguu kutoka Kilwa hadi Dar es Salaam kwa siku saba, ili ya kuunga mkono Azimio la Arusha, wakati wa mhadhara wa sita wa Kavazi cha Mwalimu Nyerere, amesema enzi zao walikuwa wakifanya shughuli kwa kujipatia chakula na si biashara.

"Sisi watoto tulijilea wenyewe na wazazi wetu walikuwa wanalima chakula tu hakuna zao la biashara, kwa hiyo hata ukilima ukavuna kwa kiasi gani, unavuna chakula lakini si kwa biashara" amesema Mzee Ally.

Mzee Ally Gereku anadai kuwa yeye alizaliwa mwaka 1952, katika familia masikini na kutokana na mafunzo waliyoyapata shuleni ndiyo yaliyompa nguvu na moyo wa kutembea.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi