Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mmiliki wa Facebook atuma ombi kwa serikali

Jumatatu , 1st Apr , 2019

Mmiliki wa Mtandao wa Kijamii wa Facebook, Mark Zuckerberg amezitaka serikali kote ulimwenguni kusaidia kuweka sheria za udhibiti wa taarifa za intaneti.

Picha ya nembo ya Facebook.

Zuckerberg ameandika barua ya wazi akitoa wito sheria ziwekwe ili kufuatilia taarifa za intaneti. Katika waraka wake wa wazi uliochapishwa na gazeti la Washington Post anasema jukumu la ufuatiliaji wa maudhui hatari ni kubwa sana kwa kampuni ya Facebook.

Zuckerberg ameongeza kuwa Facebook inabuni bodi huru ili watu waweze kukata rufaa juu ya uamuzi mbalimbali juu ya kile kinachotumwa na kile kinachoondolewa kwenye mtandao huo.

Anasema ziwepo sheria za pamoja ambazo mitandao yote ya habari ya kijamii inahitaji kufuata, kudhibiti kutekelezwa na kampuni nyingine, kudhibiti kusambaa kwa taarifa za zinazosababisha madhara.

Pia, ameshauri kampuni zote za teknolojia kutoa ripoti ya wazi kila baada ya miezi mitatu, sawia na ripoti yao ya fedha. Ameshauri sheria kali ziwekwe kote duniani kulinda maadili ya uchaguzi na kuwapo kwa viwango sawa kwa tovuti zote za kuwatambua wanasiasa.

Wito wa mmiliki huyo wa Facebook unakuja wiki mbili baada ya mtu mwenye silaha kutumia mtandao huo kusambaza video yake moja alipokuwa akiushambulia msikiti eneo la Christchurch, New Zealand.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa