Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Mpaka siku naondoka nitakuwa sijamlipa"- Goodluck

Jumamosi , 16th Jan , 2021

Mwimbaji wa muziki wa injili, Goodluck Gozbert, amesema kuwa yeye anaamini kwamba hadi pale atakapofikia wakati wa kuondoka duniani, atakuwa hajafanya kitu chochote ambacho kinatosheleza yale mema yote aliyofanyiwa na mama yake.

Mwimbaji wa muziki wa injili, Goodluck Gozbert

Kauli hiyo ameitoa wakati akizungumza kwenye kipindi cha DADAZ cha East Africa Television, na kuwasihi wale wote ambao mama zao wapo basi wahakikishe wanatenga muda kwa ajili ya mama zao, kama ambavyo MC Pilipili alivyokuwa akijitahidi kumpa muda mama yake.

"Mpaka siku naondoka Duniani nitakuwa sijaweza kumlipa kitu mama yangu, kuna wakati huwa namuomba Mungu angalau nipate muda wa kutoka na kutembea na mama, Mungu amlaze mahali pema Mama wa MC Pilipili, kwani alijitahidi kumpa muda, huwezi kumlipa mama eti kwa kusema umjengee nyumba eti ndiyo vitarudisha vitu ambavyo aliwahi kufanya", amesema Goodluck.

Aidha Goodluck ameongeza kuwa, "Kwa ambaye uko na mama na una muda unapata nafasi mtembelee sana mama, zungumza naye na cheka naye naamini ni vitu ambavyo huwezi kupata tena muda wa kuvifanya wakati ambapo siku zitakuwa zimesonga mbele".

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi