Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mpenzi wa Chidi Benz aeleza alivyoitumia "unga"

Alhamisi , 23rd Jan , 2020

Kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio, kinachoruka siku za wiki kuanzia 7:00 mchana hadi saa 10:00 jioni, kimepiga stori na mama watoto wa msanii Chidi Benz aitwaye Mariam, na ameeleza jinsi alivyoingia kwenye utumiaji wa madawa ya kulevya.

Msanii Chidi Benz na mzazi mwenziye Mariam

Mariam amesema alianza kutumia madawa ya kulevya aina ya Heroine, wakati yupo kwenye mahusiano na mwanaume mwingine kabla ya kuwa na Chidi Benz, ambaye wamejaliwa kupata watoto wawili.

"Kila mtu anasababu zake ila wengi wao kinachosababisha waingie huko ni makundi tu, kama mshikaji wangu anatumia na yeye atumie hata mimi kwa mara ya kwanza navuta madawa sikujua kama nimeingia huko, ila nilikuwa navuta sigara ikawa rahisi mimi kuvuta unga" amesema mzazi mwenza wa Chidi Benz.

Aidha ameendelea kusema "Hakuwa Chidi Benz aliyeniingiza kwenye madawa, nilikuwa na mwanaume mwingine kabla sijakutana na Chidi Benz, sikujijua kama navuta unga ila nilikuwa nahisi kitu kingine na hakuwahi kuniambia kama inapatikana wapi, unachukua tumbaku inanyongwa upya halafu unachukua unga unausaga kisha unaukwangua na kiwembe" ameongeza.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali