Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mzee wa miaka 101 apona Corona Italia

Jumamosi , 28th Mar , 2020

Ripoti kutoka hospitali ya Jiji la Rimini Kaskazini mwa nchi ya Italia, inaeleza kuwa Babu mwenye umri wa miaka 101 ameruhusiwa kutoka Hospitali baada kupona ugonjwa wa virusi vya Corona.

Picha ya mzee huyo akipatiwa matibabu hospitalini

Mzee huyo ambaye amejulikana kwa jina la Mr P alizaliwa mwaka 1919, ameweka rekodi ya kuwa mtu mzee aliyeweza kushinda kupona ugonjwa huo baada ya kuaminika kuwa unaangamiza zaidi wazee.

Akitoa taarifa hiyo kiongozi wa hospitali  ya  Rimini Gloria Lisi, ameviambia vyombo vya ndani vya habari nchini humo kuwa  "Mr P ameruhusiwa kutoka hospitali siku ya Alhamisi jioni na kufuatwa na familia yake amekuwa mtu wa pili kupona ugonjwa huu,  na ametufundisha kuwa hata mtu mzee mwenye umri kama wake anaweza akapona, yajayo hayaandikwi".

Aidha  amesema siku hiyo ya Alhamisi pekee amepokea kesi mpya za wagonjwa wa virusi vya Corona 1189, Pia shirika la Afya nchini humo limesema asilimia 86 ya vifo vilivyotokea kutokana na ugonjwa huo ni wazee walio na umri wa miaka 70 na kuendelea.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali