Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mzee Wa Upako aibuka na Mwamposa

Alhamisi , 6th Feb , 2020

Mchungaji wa kanisa la GRC, Antony Lusekelo maarufu kama Mzee wa Upako, amemtetea Mtume Boniface Mwamposa , kwamba tukio alilolisababisha la watu zaidi ya 20 kupoteza maisha sio la imani potofu kama kafara au freemason.

Pichani kushoto ni Mchungaji Mzee wa Upako, kulia ni Mchungaji Mwamposa

Mzee wa Upako amesema Mwamposa hakuwakimbia Polisi, bali alijisalimisha mwenyewe katika kituo cha Polisi cha Oysterbay.

"Mwamposa amezushiwa, kawaida anapomaliza mikutano yake siku ya Jumamosi awapo mikoani huwa anawahi kurudi Dar es Salaam kwa ajili ya ibada ya Jumapili, na aliposikia yaliyotokea akaenda kujisalimisha kituo cha polisi Oysterbay, yeye sio freemason wala kutaka kutoa kafara, ila kama kuna kesi ya jinai ashtakiwe" amesema Mzee wa Upako.

Aidha Mzee wa Upako amesema yeye alianza kazi hii ya kuhubiri mnamo mwaka 1972, japo watu walikuwa wanampinga kwa kumwambia kwamba yeye ni mdogo, sasa hivi ana miaka 36 kwenye kazi hiyo.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi