Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Namthamini 2022 yaanzia Mtwara

Jumatano , 21st Sep , 2022

Kampeni ya Namthamini inayoendeshwa na East Africa TV na East Africa Radio imeanza kugawa taulo za kike kwa wanafunzi, na msimu huu imeanzia katika mkoa wa Mtwara.

Wa pili kutoka kushoto Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Mhe Dustan Komba akipokea taulo za kike kutoka kwa wafanyakazi wa East Africa TV na East Africa Radio.

Wanafunzi wa shule za sekondari Mikindani na Mitengo zilizopo katika wilaya ya Mtwara, walikabidhiwa taulo za kike pakiti 862.

Pia kampeni hii ikafika katika shule za sekondari Naliendele na Mangamba ambapo wanafunzi wa shule hizo walikabidhiwa taulo za kike jumla ya pakiti 969.

Jumla ya shule nne za sekondari katika wilaya ya Mtwara zilikabidhiwa taulo za kike siku moja ambazo ni Mikindani, Mitengo, Naliendele na Mangamba

Elimu kuhusu hedhi salama ni muhimu katika kuboresha umakini na ufaulu kwa wanafunzi wa kike mashuleni. Kupitia kampeni ya Namthamini licha ya kusaidia wanafunzi taulo za kike, pia hutoa elimu ya hedhi salama kwani itasaidia wanafunzi wa kike namna ya kujitunza na hata wanapokuwa katika siku za hedhi wanakuwa katika mazingira salama na watakuwa wanaendelea na masomo yao bila changamoto yoyote.

 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke