Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

NBC watoa taulo za kike kwa wanafunzi 250

Jumanne , 13th Sep , 2022

Benki ya NBC siku ya leo imechangia pakiti 3,000 za taulo za kike katika kampeni ya Namthamini inayoendeshwa na East Africa TV na East Africa Radio, ambazo zitakwenda kuwasaidia wanafunzi wa kike wapatao 250 kwa mwaka mzima.

Kutoka kushoto mtangazaji wa East Africa TV, Najma Paul akifuatiwa na Irene Peter ambaye ni Meneja wa huduma za jamii wa NBC akikabidhi taulo za kike kwa Meneja Mahuasiano wa IPP, Nancy Mwanyika na mwisho ni Justine Kessy mtangazaji wa East Africa Radio.

Akizungumza wakati wa makabidhiano hayo Meneja Huduma za Jamii wa NBC, Irene Peter amesema wamewasaidia wanafunzi 250 kwa kuwa wanathamini afya za watoto wa kike ili waweze kutimiza ndoto zao.

Benki ya NBC ni moja kati ya washirika wanaoisaidia kampeni ya Namthamini kwa mwaka 2022 ili kuwawezesha wanafunzi wa kike kutokosa masomo yao pindi wanapokuwa katika kipindi cha  hedhi.

Kwa upande wake Brenda Killeo ambaye ni Meneja Mawasiliano wa benki ya NBC amesema kampeni ya Namthamini ni miongoni mwa kampeni zenye thamani hapa nchini kwa kuwa inainua elimu na kuwafanya wanafunzi wa kike walio mashuleni kuwa majasiri na kutimiza ndoto zao ndiyo maana wameiunga mkono.

HABARI ZAIDI

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani