Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Njia za kumsahau mpenzi wa zamani uliyempenda

Alhamisi , 11th Jul , 2019

Binadamu wameumbwa kupendana na hasa katika jinsia mbili tofauti, katika huko kupenda ndipo kikatengeneza kitu kinaitwa ndoa ili wawili waweze kufurahia upendo wao.

mtu mwenye msongo wa mawazo

Sio kweli kwamba kila mahusiano huwa yanadumu katika hali ileile, kwani wengine hufikia hatua ya kushindwa kuvumiliana kwa baadhi ya ilhali bado wanapendana. Unaweza ukawa umeachana na mwenza wako kwa ndoa au mahusiano kuvunjika lakini bado ukawa unasumbuliwa na mawazo yake, sasa utawezaje kumsahau?. Mtaalamu wa mahusiano, Godfrey Mshana kupitia DADAZ, ameelezea njia za kufuata ili kumsahau mtu ambaye ulimpenda sana na huwezi kumsahau.

Godfrey amesema kuwa kumbukumbu za mahusiano ni ngumu kusahaulika, lakini inategemea na hisia zenyewe zilikuwa ni za namna gani, mfano ni kwa mtu wa karibu zaidi ama mpenzi wako wa muda mrefu.

"Kwanza kusahau kuko kwa aina mbili, unaweza ukaifuta kabisa kumbukumbu ya mahusiano, lakini unaweza ukawa unashinda kuikumbuka kutokana na vikwazo fulanifulani. Ni kweli kumbukumbu za mahusiano ni ngumu kusahaulika, sasa kama ni ngumu kuna vitu ambavyo unatakiwa kuvifuata ili kusahau", amesema Mshana.

"Njia ya kwanza unatakiwa kujiuliza ni kwanini bado unaendelea kumkumbuka mpenzi wako wa zamani, kwahiyo kwenye majibu yako utajua kweli kama bado unampenda au laa, kama utagundua hamjaachana kweli, basi hatua ya pili tafuta namna ya kuachana, kwa maana wote mkubaliane kuwa sasa mnaachana", ameongeza.

Tazama video hapa chini kutazama njia zingine za kufuata ili kuweza kumsahau mpenzi ambaye bado unamkumbuka.

HABARI ZAIDI

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea