Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Producer wa East Africa Radio ashinda tuzo

Jumapili , 1st Jan , 2023

Muandaaji wa kipindi cha MamaMia cha East Africa Radio, Anna Abdallah Sombida amefanikiwa kushinda tuzo ya 'Best Radio Producer' kwenye hafla ya utolewaji wa tuzo za uandishi wa habari za watoto zilizotolewa na Jukwaa la Wahariri (TEF) kwa kushirikiana na UNICEF Tanzania.

Muandaaji wa kipindi cha MamaMia cha East Africa Radio, Anna Abdallah Sombida akipokea cheti baada ya kushinda tuzo.

Anna Sombida amesema, tuzo hiyo imempa nguvu na motisha ya kufanya kazi kwa bidii zaidi, kwani kitendo cha kupata tuzo hiyo kimemuonesha kuwa kumbe kazi anayoifanya inaonekana na ina nguvu kubwa, huku akiwashukuru TEF na UNICEF Tanzania kwa kutambua mchango wa waandishi wa habari katika jamii.

Anna Sombida amesema kuwa, East Africa Radio ina mchango mkubwa sana katika kumkuza na kumfikisha hapo alipo, kwani amekuwa akipewa nafasi ya kujifunza vitu vingi na kuongozwa vizuri kitu kilichopelekea kukomaa zaidi katika nafasi yake hiyo ya uandaaji wa vipindi.

Pia amewataka waandishi wengine wa habari kutokukata tamaa na kuchangamkia fursa pale zinapotokea, na ikitokea hawajafanikisha wasikate tamaa kwani hata yeye hii si mara ya kwanza kushiriki katika tuzo hizo, mwaka jana alishiriki lakini hakufanikiwa kupata lakini amekuja kupata mwaka huu.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa