Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Salama Jabir atoa tahadhari hii

Alhamisi , 30th Jan , 2020

Mtangazaji maarufu nchini Tanzania Salama Jabir, amesema ujio wa kipindi chake kipya cha SalamaNa, hakitakuwa na watu mastaa peke yao bali mtu yeyote mwenye stori nzuri, pia ametaka shughuli zake zisifananishwe na watu wengine.

Picha ya mtangazaji Salama Jabir

Akiongea mbele ya waandishi wa habari ambao walijitokeza katika uzinduzi wa kipindi chake, Salama Jabir amesema anataka vitu vya kipekee na tofauti, kwa sababu anafanya kazi na watu walio bora kabisa.

"Kipindi changu sio lazima wawe watu maarufu tu, anaweza akawa hata mtu mwingine kama ana stori nzuri tunamsikiliza, halafu tunafanya naye, shughuli zangu zinajulikana, tafadhali msizifananishe na mtu yeyote, mimi nataka vitu vya kipekee na tofauti kwa sababu nafanya kazi na watu walio bora sokoni pia hatutaki kufanya vitu ambavyo wengine wanafanya na hilo suala tunalikwepa kila siku" ameeleza Salama Jabir.

Kipindi cha SalamaNa kitakuwa kinaruka kila siku ya Alhamisi kuanzia 3:00 usiku, kupitia East Africa TV.

Baadhi ya watu ambao ameshafanya nao katika kipindi hicho ni  Lil Ommy, Marco chali, Jokate Mwegelo, Barnaba Classic, Shilole, Mx Carter, Fid Q, Idriss Sultan, Khadija Kopa, Mwana Fa , Ben Pol na Gigy Money.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi