Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ufahamu wa wananchi kuhusu kupandikiza mbegu

Alhamisi , 13th Mei , 2021

Kufuatia taarifa ya Hospitali ya Taifa Muhimbili kuanza kutoa huduma ya kupandikiza mbegu za uzazi kwa wanawake wenye uhitaji, EATV & EA Radio Digital imeingia kitaani kupiga stori na raia juu ya maoni yao kuhusu suala hilo.

Picha ya David Moses kushoto, kulia ni Mama Saida

"Hilo suala linanichanganya, kwanza wanapandikiza kwa wanawake ambao ni wajane, wasio na wanaume au wanawake wa mtaani maana ni jambo gumu na hao watoto watakaopandikizwa watakuwa hawana baba au itakuaje, hii ishu inanishtua baada ya kuisikia" David Moses 

"Mimi sipo tayari kupandikiza mbegu zangu kwenye suala la uzazi kwa sababu nitazaa mtoto ambaye hana baba wala ndugu kwa upande wa baba yake, nimeziopokea taarifa hizi kwa watu kama wenye shida ya uzazi, hili suala likiendelea ndoa zitakuwa hakuna tena, maana nikitaji mtoto nitaenda Hospitali kupandikiza" Mama Saida 

"Nimepokea kwa uzuri na ubaya kwa sababu kumpandikiza mbegu mwanamke mtoto akizaliwa huwezi jua mtoto atafanana na nani, pendekezo langu mimi nimjue atakayenipandikiza hizo mbegu hiyo itanisaidia kumjua baba wa mtoto hata kama hatuna mahusiano yoyote" Dada Sestiria
 

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa