Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ugonjwa unaoweza kuupata sababu ya urefu

Jumanne , 2nd Oct , 2018

Watafiti kutoka chuo kikuu cha madawa cha Stanford huko nchini Marekani, wamegundua kuwa urefu ni moja ya sababu kubwa zinazoweza kusababisha ugonjwa wa 'varicose vein'.

Mtu mwenye ugonjwa wa varicose vein

Mmoja wa madaktari wa chuo hicho ambaye ni mtaalamu wa masuala hayo Dr. Nicholas Leeper, amesema “hatukupata tu uhusiano kati ya urefu na mishipa ya varicose, lakini tafiti za maumbile zimeonyesha genetics na urefu pia husababisha 'varicose vein', amesema Dkt. Leeper.

Ugonjwa huu wa 'varicose vein' huathiri mishipa ya damu na kupekea kuvimba na kujikunja kunja kwa mishipa ya damu, na kuifanya kuwa ya rangi ya zambarau. mara nyingi huwapata watu wanene, wajawazito, wanaosimama hedhi, wenye umri zaidi ya miaka 50, na pia kusimama muda mrefu.

Chanzo kikubwa cha ugonjwa huu ni pale damu inaposhindwa kutembea vizuri mwilini na kusababisha kujaa mahali, na hatimaye kuvimba na kuanza kuwasha.

Athari zake kubwa huweza mpelekea mtu kufanyiwa upasuaji wa kurekebisha mishipa ya damu (vein) pale damu inapoganda (blood cloting), kuvuja damu kwani muda mwengine hupelekea kupasuka, miguu kuvimba, kumletea muwasho na kumfanya asiwe huru,.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi