Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Uwezekano wa maisha sayari nyingine wagundulika

Alhamisi , 12th Sep , 2019

Utafiti wa miaka ya karibuni katika anga za juu, umeonesha uwepo wa sayari nyingine nje ya mfumo wetu wa jua (Solar System), ambazo zinatajwa kuwa na uwezo wa kuruhusu uhai kwa wanyama na mimea lakini ugumu umebaki kuweza kuzifikia.

Picha ya sayari tofauti tofauti

Unaambiwa kama chombo kitaweza kwenda spidi ya maili 35,000 kwa saa, itachukua miaka 40,000 kuweza kuikaribia sayari mojawapo, lakini inaelezwa uwepo wa ugumu wa kupita hata karibu ya Sayari hizo sababu zikitajwa ni uwepo wa mgandamizo mkubwa wa hewa pamoja na gesi nzito.

Utafiti mwingine wa hivi karibuni umegundua uwepo wa unyevu nyevu wa maji maeneo ya Sayari hizo, hivyo kuongeza uwezekano wa kuruhusu uhai kwa wanyama na mimea japo hiyo haitoi picha moja moja kwa sababu uwepo wa uhai hautegemei uwepo wa kitu kimoja bali vitu vingi.

Unyevu nyevu wa maji umegundulika katika sayari ya K2-18b ambayo kiumbo ni kubwa zaidi ya Sayari ya Dunia, lakini ina mfanano wa ukaribu wa hali ya hewa huku kukihisiwa kuwepo pia kwa vyanzo kama Bahari, Maziwa na Mito.

Mpaka sasa zimegundulika zaidi ya Sayari 2,000 ambazo zipo nje ya mfumo wetu wa Jua (Solar System), lakini imebaki kuwa ndoto kuzifikia sababu ya teknolojia iliyopo pamoja na ufinyu wa tafiti kuhusu maeneo hayo.
 

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil