Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Walioshinda 'Golden Buzzer' wamshukuru Rais Samia

Jumatano , 19th Oct , 2022

Vijana wawili wanaojiita za The Ramadhan Brothers, ambao video yao ilisambaa mitandaoni wakiwa kwenye mashindano ya Australia got talent, na kubonyezewa Golden Buzzer baada ya kufanya mazuri wameishukuru serikali ya Rais Samia kwa namna ambavyo imekuwa ikiwatia moyo wasanii.

The Ramadhan Brothers wakiwa kwenye studio za East Africa Radio

Kauli hiyo wameitoa hii leo Oktoba 19, 2022, wakati wakizungumza kwenye kipindi cha SupaBreakfast ya East Africa Radio ambapo kwa pamoja wameeleza safari yao ilivyokuwa na jinsi ambavyo milango imefunguka na wamekuwa wakialikwa kwenye mashindano mbalimbali.

"Napenda sana kuwashukuru viongozi wote wa Tanzania akiwemo Rais Samia kwa kututia moyo sisi wasanii, kusema kweli serikali yetu inatia nguvu sana na ina-support sana wasanii, tuna-show moja kubwa sana, tuna nusu fainali na fainali yenyewe nina imani Watanzania watashangaa kuona tunafanya maajabu yale," wamesema The Ramadhan Brothers

Aidha wameongeza kuwa, "Hatua tuliyofika kusema kweli tunamshukuru Mungu ni hatua kubwa sana na kwa sasa hivi tulipofikia ile show ni utambulisho, na pale kulikuwa na wasanii zaidi ya 300 lakini The Ramadhan Brothers tumekuwa wasanii wa kwanza kutunukiwa tuzo ya golden buzzer,".

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma