Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanawake wakerwa, tabia za wanaume kwenye daladala

Ijumaa , 21st Jun , 2019

Ni kawaida katika miji mikubwa yenye msongamano wa watu katika nchi nyingi barani Afrika kukumbwa na adha ya usafiri wa raia wake.

Usafiri wa daladala

Nchini Tanzania, hali hiyo inaweza kuonekana zaidi katika majiji makubwa kama Dar es Salaam, Mwanza na Arusha, ambapo shida ya usafiri upelekea watu kujazana kwenye usafiri wa daladala ambao ndio unawapa unafuu watu wengi.

Kero kubwa ambayo imetajwa kuwachosha wanawake wengi kwenye daladala ni tabia ya baadhi ya wanaume kukaa nyuma yao, maarufu kwa jina la 'Kubambia', hali inayowafanya kukosa amani katika usafiri. 

Kupitia mada iliyowekwa katika ukurasa wa Facebook wa EATV, wanawake wengi waliotoa maoni yao wameonesha kukerwa na tabia hiyo, huku wengine wakidai kuwa baadhi ya wanaume hufanya makusudi ili tu waweze kutimiza haja zao.

Licha ya kero hiyo kwa wanawake wengi ambao wametoa maoni yao, kero zingine zinazowakera wasafiri wengi ni pamoja na nguo za makondakta wa daladala pamoja na usafi wao kwa ujumla kuwa mdogo, ambapo wamedai kuwa makondakta wengi si wasafi ilihali wao wanakuwa karibu mno na abiria. Pia suala la baadhi ya abiria kuzungumza lugha chafu kwenye daladala bila kujali rika zilizomo ni kero kubwa kwa abiria wengi.
 

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa