Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watoto 12 hadi 533 wakumbwa na matukio ya ulawiti

Jumapili , 16th Jun , 2019

Idadi ya matukio ya ulawiti watoto imeongezeka kutoka 12 hadi 533 kutoka mwaka 2017 hadi Juni 2018 kutokana na kupungua kwa nafasi ya wazazi katika kuwalinda watoto.

Ulawiti watoto

Hayo yamebainishwa na wadau kutoka TGNP Mtandao katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika Jijini Dar es Salaam.

TGNP imesema kuwa suala la usalama wa mtoto linatakiwa kuangaliwa kwa ukaribu zaidi kutokana na kuwapo matukio mengi ya ukatili kwa watoto yakiwemo ya ulawiti.

Tarehe 16 Juni ya kila mwaka ni siku ya 'Mtoto wa Afrika', siku maalum ambayo inakumbukwa kutokana na jinsi ambavyo watoto wa shule wa Kiafrika waliuawa kikatili na makaburu eneo la Soweto nchini Afrika Kusini wakipinga unyanyasaji uliokuwa ukiendelea.

Tukio hilo lilitokea mnamo Juni 16, 1976, ambapo inakadiriwa kuwa zaidi ya waandamanaji 20,000 walihusika, huku makadirio yakiwa ni zaidi ya wanafunzi 176 hadi 700 inatajwa kuwa walipoteza maisha.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali