Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wavamia eneo la Makaburi na kufanya makazi

Ijumaa , 25th Jan , 2019

Wakazi wa mtaa wa Pakacha, Tandale jijini Dar es salaam wamelalamikia eneo la Itongo  katika mtaa huo lilitengwa maalum kwa ajili ya maziko ya watu kuvamiwa na watu na kuanza ujenzi wa makazi.

Pichani wakazi wa eneo hilo.

Wakiongea na KURASA, wananchi hao wameeleza hofu waliyonayo ya ujenzi huo kama utakuwa endelevu kuwa miili ya marehemu hao inaweza ikafukuliwa na kukosa mahala pa kuhifadhiwa.

Kwa upande wake mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Pakacha, Bw. Kasim Omari amesema ameshatoa maelekezo juu ya ujenzi unaoendelea katika eneo hilo la makaburi na kwamba hakuna mwili wa marehemu, uliohifadhiwa katika makaburi hayo utakaofukuliwa kutokana na ujenzi.

"Eneo lile lilikuwa ni la familia na wanaojenga ni wanafamilia, hivyo hakuna uvamizi wowote lakini, nimeshatoa maelekezo wasiendelee kujenga katika eneo hilo", amesema Mwenyekiti huo.

Akiwa mkoani Kilimanjaro mwaka jana Waziri wa Ardhi, William Lukuvi alipiga marufuku, watu kufanya maziko majumbani badala yake watumie maeneo yaliyotengwa na serikali.

Bofya link hapo chini kutazama eneo hilo.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi