Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Whatsapp na Facebook za sababisha mauwaji

Alhamisi , 4th Oct , 2018

Msichana mmoja raia wa Uingereza aliyejulikana kwa jina la Gemma Evans amemgonga mtu mmoja aliyekuwa akiendesha baiskeli na kufariki papo hapo wakati alipokuwa akituma ujumbe wa katuni katika mitandao ya Whatsapp na Facebook huku akiendesha gari.

Gemma (23) alikuwa akitumia simu yake kutuma ujumbe wa katuni za utani katika mitandao hiyo huku akiendesha gari asubuhi alipokuwa akitoka kazini baada ya kufanya kazi usiku mzima.

Yeye mwenyewe ameeleza kuwa pindi inatokea ajali hiyo simu yake ilikuwa katika mkoba wake na hakuitumia katika safari nzima hadi tukio hilo linatokea.

Polisi imemkatata msichana huyo na katika uchunguzi uliofanyika kwa kutumia simu yake na kwa msaada wa kamera za barabarani, imemuonesha dereva huyo akichepuka upande wa pili ambao ndio tukio hilo lilikotokea.

Wakati inasikilizwa kesi hiyo katika mahakama ya Merthyr Tydfil, jaji alisikika akisema kuwa kwa mujibu wa uchunguzi wa maafisa wa polisi, imeonesha msichana huyo alikuwa akiwasiliana kwa ujumbe wa katuni na rafiki yake katika mitandao kabla ya kuacha njia yake na kumgonga mwendesha baiskeli huyo aliyejulikana kwa jina la Diane Prince mwenye umri wa miaka 58.

Hakimu ameeleza zaidi kuwa taarifa hiyo ya maafisa wa polisi imeelenda mbali zaidi kwa kuelezea maudhui ya ujumbe huo uliosababisha ajali, ikisema kuwa msichana huyo alikuwa akipanga mtoko wa usiku na rafiki yake huyo ambaye alikuwa akiwasiliana naye

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa