Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Young Killer afunguka kutomsaidia Baba yake

Jumatano , 13th Mei , 2020

Msanii wa HipHop hapa nchini Tanzania Young Killer, amenyoosha maelezo juu ya madai ya kutomsaidia Baba yake pia amefunguka kuhusu kupata mtoto wa kike mwishoni mwa mwaka 2019.

Msanii wa HipHop Young Killer

Akipiga stori na EATV & EA Radio Digital, wakati anajibu tuhuma za kutomsaidia mzazi wake huyo wa kiume Young Killer amesema,

"Baba yangu hawezi kuja kwenye vyombo vya habari na kuongea vitu kama hivyo, huyo hawezi kuwa mzee wangu, mimi natoa mahitaji kwa familia yangu sio kwa mzee tu yaani ukiwajumlisha wote kuanzia Baba, Mama na Dada, huyo mzee aliyesema hivyo itabidi amtafute mwanaye sio mimi" ameeleza Young Killer.

Aidha akizungumzia kupata mtoto na mipango ya kuingia kwenye ndoa msanii huyo amesema  "Nimepata mtoto wa kike na nilikuwa nataka mtoto mwenye jinsia hiyo, namshukuru Mungu nimefanikiwa, tutegemee chochote kwa sababu Mungu ndiyo mpangaji wa kila kitu na chochote kitakachotokea tutaishi nacho maana hatuifahamu kesho yetu lolote linaweza kutokea".

Mahojiano kamili tazama kwenye video hapa chini

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi