Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanafunzi waomba mikopo itolewe kwa wote

Alhamisi , 18th Oct , 2018

Baada ya Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), kuweka wazi kuwa wanafunzi wenye vigezo wapatao elfu arobaini (40,000), ndio watapata mkopo kwa mwaka wa masomo 2018/19, Mtandao Wa Wanafunzi Tanzania (TSNP) wasema idadi hiyo ni ndogo.

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB)

Akiongea leo kwenye MJADALA wa East Africa Television, Katibu wa Mtandao Wa Wanafunzi Tanzania, Joseph Malekela ameiomba bodi hiyo kuondoa ukomo wa idadi ya wanafunzi kwani sharti hilo linasababisha wanafunzi wengi kukosa elimu ya juu licha ya kuwa na vigezo vyote.

''Hii idadi ni ndogo sana ukilinganisha na wanafunzi waliofaulu kidato cha sita na wanahitaji mkopo, ni sawa na ilivyokuwa mwaka jana ambapo wanafunzi elfu thelathini pekee tu ndio walipata mkopo na kuacha waombaji wengi wakibaki nyumbani'', amesema Malekela.

Malekela amependekeza kuwa kwasababu mkopo huo ni deni na watu wanarudisha inabidi wote wapewe mkopo na sio kuwa na ukomo wa idadi kwa sababu ya sifa zilizowekwa ambazo kuna muda hazina uzito sana kwani kila anayeomba mkopo ana uhitaji.

Hata hivyo Afisa Mawasiliano Mwandamizi wa Bodi ya mikopo Veneranda Malima, ambaye naye alikuwepo kwenye MJADALA amesema, lazima kuwepo na vigezo ambavyo vinawawezesha kutambua nani apate mkopo  na pia lazima viwepo vipaumbele ikiwemo Yatima na wasiojiweza.

Aidha Bi. Veneranda amefafanua kuwa ni ngumu kutoa mkopo kwa wanafunzi wote huku akibainisha kuwa wanafunzi waliokosa mkopo mwaka jana wameomba na wengine wamepata.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali