Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Agizo la Rais Magufuli kwa Taifa Stars

Jumapili , 18th Nov , 2018

Rais wa Jamhuri  ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amewatakia mchezo mwema timu ya taifa 'Taifa Stars' katika mchezo wake wa kufuzu michuano ya mataifa ya Afrika 'AFCON' dhidi ya Lesotho.

Rais Magufuli

Rais Magufuli amewatakia mchezo mwema pamoja na kuwapa maagizo ya kurejea nyumbani na ushindi katika mchezo huo, ushindi ambao utaandikisha historia katika nchi.

"Vijana wangu Taifa Stars, muda mfupi ujao nitakuwa nikitazama mchezo kati yenu na timu ya taifa ya Lesotho, mimi na Watanzania wenzangu tunawatakia mchezo mwema, mrudi na ushindi," ameandika Rais Magufuli katika mtandao wa kijamii wa Twitter.

Ikumbukwe mwezi uliopita, Rais Magufuli alichangia sh. milioni 50 kwa Taifa Stars kwaajili ya maandalizi yake katika michezo yake miwili ya mwisho ya kufuzu katika michuano hiyo huku akisisitiza kuwa huu ndio wakati wa timu hiyo kufuzu katika michuano mikubwa ya Afrika na Dunia kwa ujumla.

Endapo Taifa Stars itafanikiwa kupata ushindi katika mchezo wa leo, itajikatia tiketi ya moja kwa moja ya kufuzu michuano hiyo ambayo itafanyika nchini Cameroon mwaka 2019.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya