Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ahadi mpya ya Okwi kwa Simba

Jumanne , 21st Nov , 2017

Mshambuliaji wa Simba Emmanuel Okwi amesema atarejea kwa kasi na uwezo zaidi baada ya kuwa nje kwa muda akiuguza majeraha aliyoyapata akiwa kwenye majukumu na timu ya taifa ya Uganda.

Okwi ameandika ujumbe kwenye ukurasa wake wa mtandao wa Instagram akielezea namna ambavyo ameukumbuka mchezo wa mpira wa miguu kutokana na kutocheza kwasababu ya kuwa majeruhi.

“Hakika nimeukumbuka sana mpira wa miguu, lakini nitarejea nikiwa imara zaidi baada ya kupona majeraha madogo yanayoniweka nje ya uwanja” ameandika Okwi".

Okwi ambaye ni kinara wa mabao kwenye ligi kuu soka Tanzania bara akiwa na mabao 8 aliumia kwenye kambi ya The Cranes ilipokuwa ikijiandaa na mechi ya kukamilisha ratiba ya makundi kuwania kufuzu kombe la dunia dhidi ya Ghana.

Klabu ya Simba inaongoza msimamo wa ligi ikiwa na alama ya 22, ikifuatiwa na klabu ya Azam FC yenye alama 22, huku nafasi ya tatu ikishikiliwa na mabingwa watetezi Yanga SC yenye alama 20.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali