
Mshambuliaji wa Simba SC, Ibrahim Ajib
Ajib aliomba ruhusa kwenda Afrika Kusini mara baada ya mechi dhidi ya Mwadui FC huku uongozi wa Simba ukiwa haujaridhia.
Ajib ni kati ya wachezaji waliokulia Simba kisoka na amepata mafanikio mwanzoni au katikati ya msimu. Lakini mwishoni ameonekana kupungua makali.