Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Arsenal yasainishwa mkataba feki

Jumanne , 17th Jul , 2018

Klabu ya Arsenal imejikuta katika janga la kusainishwa mkataba feki na kampuni ya magari ya umeme ya nchini China ya BYD na afisa aliyejifanya kuwa ni mmoja wa wafanyakazi wa kampuni hiyo.

Wachezaji wa Arsenal wakitambulisha jezi yenye jina la kampuni hiyo

Arsenal ilisaini mkataba na kampuni hiyo mwezi Aprili, 2018, ambapo miezi mitatu baadaye imegundulika kuwa afisa ambaye klabu ilisaini mkataba naye hakuwa mfanyakazi ndani ya kampuni hiyo.

Mshukiwa huyo aliyejulikana kwa jina la, Li Juan yuko katika kizuizi kwa sasa kutokana na uchunguzi ambao unaoendeshwa na maafisa wa Polisi .

Ripoti zinasema kwamba mshukiwa huyo alikopa bidhaa za kampuni katika mji wa Shanghai  nchini China kwaajili ya kushawishi washirika mbalimbali ili kuingia nao mikataba kwa kutumia jina la kampuni ya BYD.

Picha ya pamoja ya klabu ya Arsenal na kampuni ya BYD

Katika mkataba huo, klabu ya Arsenal na Li Juan kupitia kwa BYD walikubaliana kuitangaza kampuni hiyo katika mbao za matangazo za klabu ndani ya uwanja wa Emirates pamoja na siti za kukalia katika uwanja huo.

BYD ni kampuni ya kichina inayosimamia kubuni, kuendeleza, kutengeneza na kusambaza magari ya umeme, mabasi na magari ya makubwa ya kibiashara ambayo ina wafanyakazi zaidi ya 220,000 dunia nzima.

Sintofahamu ilianza baada ya kampuni hiyo kutoa taarifa, Julai 12 inayokana kuhusika kwake katika biashara yoyote na Li Juan au kampuni nyingine ambayo imepelekea pia kushuka kwa hisa za kampuni hiyo kwa asilimia 5.7.
 

HABARI ZAIDI

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea