Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Asha Baraka amshuhudia mwanaye akicheza fainali

Jumatatu , 7th Oct , 2019

Fainali ya pili ya Sprite Bball Kings 2019 imepigwa jana katika Uwanja wa Ndani wa Taifa na kushuhudia mabingwa watetezi Mchenga Bball Kings wakiendeleza ushindi.

Asha Baraka akimuelekeza jambo mwanaye Baraka Mopele

Katika mchezo huo, ilishuhudiwa staa wa Tamaduni, Baraka Mopele akicheza mbele ya mama yake ambaye ni mmiliki wa bendi ya Twanga Pepeta, Asha Baraka aliyekuja kumpa sapoti.

Kabla ya mchezo kuanza Asha Baraka alionekana na mwanaye akimpa maneno machache ya kumpa moyo na baada ya mchezo, aliingia na mpira katikati ya uwanja na kufunga pointi kadhaa.

Tamaduni imepoteza mchezo wa pili mfululizo wa fainali dhidi ya Mchenga Bball Stars, ambapo mchezo wa pili uliisha kwa Mchenga kuibuka na ushindi wa vikapu 104 dhidi ya 89 vya Tamaduni.

Mchezo wa tatu wa fainali unatarajia kupigwa kesho Jumanne, Oktoba 8 katika Uwanja wa Don Bosco Oysterbay. Endapo Mchenga itashinda mchezo huo itajihakikishia kunyakua ubingwa wa Sprite Bball Kings 2019, lakini endapo itapoteza mchezo huo, ratiba itaendelea katika mchezo wa nne.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii