Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Aussems atoa sababu, kutowapanga Miraji na Mzamiru

Jumamosi , 9th Nov , 2019

Kocha mkuu wa klabu ya Simba, Patrick Aussems ameitaja sababu ya kutowachezesha wachezaji Miraji Athumani na Mzamiru Yassin katika mchezo wa ligi kuu dhidi ya Tanzania Prisons uliopigwa Alhamisi ya wiki hii.

Kocha Patrick Aussems, Mzamiru Yassin na Miraj Athumani

Mchezo huo uliopigwa katika uwanja wa taifa, Simba ililazimishwa sare ya kutofungana na Tanzania Prisons, ambapo baada ya mchezo mashabiki wa Simba walionekana kulalamikia juu ya sababu za kutowapanga wachezaji hao.

Akizungumza katika mazoezi ya timu Ijumaa, Novemba 8, kocha Aussems amesema kuwa alimpumzisha Mzamiru Yassin baada ya Jonas Mkude kurejea kikosi cha kwanza na ambaye anaimudu vizuri namba hiyo, huku akitaja sababu ya kutompanga Miraji ni kutokana na majeraha.

"Mechi ipo tarehe 24 kwahiyo tuna muda wa kujiandaa, unajua Miraji aliumia hivyo asingeweza kucheza kama ilivyo kwa Bocco na Da Silva.", amesema Aussems.

"Mzamiru hakucheza kwa sababu Jonas Mkude amerudi na tulimbadilisha kwa sababu amecheza mechi zote hizo tano.", ameongeza.

Pia kocha Aussems ametoa siku 2 za mapumziko kwa wachezaji wake, ambapo watarejea Jumatatu, Novemba 11 tayari kujiandaa na mchezo unaofuata wa ligi utakaopigwa Novemba 24, baada ya mapumziko kupisha michezo ya kalenda ya FIFA.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali