Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ayoub Lyanga yupo fiti, vibali vya mkwamisha Zulu

Ijumaa , 17th Sep , 2021

Mkurugenzi wa Idara ya Habari na Mawasiliano kwa klabu ya Azam, Zacharia Thabit amethibitisha kuwa winga wake nyota, Ayoub Lyana aliyekuwa anasumbuliwa na majeraha kwasasa yupo fiti ilhali nyota mpya, Charles Zulu anataraji kukosekana kwasababu nyaraka zake za vibali hazijakamilika.

Mshambuliaji wa klabu ya Azam, Ayoub Lyanga.

Zacharia Thabiti amesema; "Ayoub alipata majeraha kwenye mechi hiyo, lakini sasa yuko fiti kuivaa Horseed. Ila mchezaji ambaye aliikosa mechi hiyo Charles Zulu ataendelea kuikosa kutokana na matatizo la nyaraka pamoja na yeye pia kuwa majeruhi".

Mbali na taarifa za wachezaji hao, Zaka amesema wanafahamu umuhimu na ugumu wa mchezo huo lakini kwa kuwa lengo la klabu hiyo ni kupata matokeo mazuri na kusonga mbele kwenye hatua ya kwanza ya mtoano kuwania kufuzu hatua ya makundi ya kombe la shirikisho Afrika basi hawana budi ya kulinda ushindi wao.

"Tuko mbele kwa  mabao mawili. Tutakachokifanya kwenye mechi hiyo ni kuulinda zaidi  ushindi wetu kwasababu hata wao wanahitaji mabao 2-0 ili wasonge mbele. Tunalijua hilo na tutapambama".

Azam inataraji kucheza mchezo wake wa marudiano dhidi ya Horseed ya Somalia saa 4:00 jioni  Jumanmosi ya Septemba 18, 2021 kwenye dimba la Chamazi na mchezo huo utahesabika Horseed kuwa kwenye uwanja wa nyumbani baada ya kuchagua uwanja huo kufuatia machafuko nchini kwao.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa