Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Azam FC kuzawadiwa Mil.75

Alhamisi , 24th Apr , 2014

Mdhamini mkuu wa ligi kuu ya soka ya Tanzania Bara Vodacom ametangaza kuipa klab ya Azam FC kitita cha shilingi milioni 75 baada ya timu hiyo kutwaa ubingwa wa ligi hiyo msimu huu.

Azam FC wakishangilia goli katika moja ya michezo yao ya ligi kuu ya Tanzania Bara ya msimu uliomalizika

Mdhamini mkuu wa ligi kuu ya soka ya Tanzania Bara Vodacom ametangaza kuipa klab ya Azam FC kitita cha shilingi milioni 75 baada ya timu hiyo kutwaa ubingwa wa ligi hiyo msimu huu.

Akitangaza zawadi mbalimbali kwa mshindi wa pili Yanga anayepata shilingi milioni 37 wa tatu,timu ya Mbeya City anapata shalingi milioni 26 na ya nne Simba inapata shilingi milioni 21 Meneja Uhusiano wa Vodacom, Salum Mwalimu,ametaja pia zawadi kwa ajili ya wachezaji bora.

Amesema mchezaji bora atavuna Milion 5.2, mfungaji bora pia atapata Milion 5.2, mlinda mlango bora milion 5.2 pia na mwamuzi bora na Mwalimu bora watapata milion 7.8 kila mmoja.

Amesema kuwa Jumla ya zawadi zote kwa msimu huu ni Milion 210 kwa ajili ya timu zilizoshika nafasi nne za juu pamoja na timu nyingine zilizoonesha umahiri katika maeneo mengine ikiwemo timu yenye nidhamu itakayovuna Milion 16.

Mwaka jana bingwa wa Ligi Kuu (Yanga) ilizawadiwa kitita cha shilingi Milion 70.

Salum Mwalimu, amesema ligi ya msimu huu imekuwa na ushindani mkubwa ukilinganisha na msimu uliopita.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa bodi ya ligi hiyo, Silas Mwakibinga, anasema licha ya changamoto nyingi katika ligi ya msimu huu ushindani ndio jambo la msingi katika maendeleo ya mpira nchini.

Sherehe za kukabidhi zawadi hizi, zitafanyika wiki ya kwanza ya mwezi Mei

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali