Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Azam waogope hiki kutoka kwa Triangle United

Jumatatu , 16th Sep , 2019

Kocha wa klabu ya Triangle United, Taurai Mangwilo ametaja kitu kimoja kikubwa ambacho anajivunia katika klabu yake na kitakachowasaidia kusonga mbele kwenye mchezo wa marudiano.

Mchezo wa Azam FC dhidi ya Triangle United

Katika mchezo wa kwanza wa Kombe la Shirikisho uliofanyika Jumapili, Septemba 15 Jijini Dar es Salaam, Azam FC imepoteza kwa bao 1-0, huku bao hilo pekee la Triangle likifungwa na Ralph Kawondera katika dakika ya 34.

Akizungumza baada ya mchezo huo, kocha wa Triangle amesema kuwa kitu pekee wanachojivunia ni rekodi yao ya kutopoteza mchezo wowote ambao wanakuwa wa kwanza kupata bao.

"Sisi kama timu hatujawahi kupoteza mchezo wowote ambao tumetangulia kupata bao, kwahiyo matarajio yalikuwepo kwenye mchezo ule. Tulijaribu kuwasukuma ili tupate bao na tulipolipata tukajiamini kuwa tayari tuna kitu kikubwa sana", amesema Mangwilo.

Azam FC inatarajia kusafiri hadi nchini Zimbabwe kwenye mchezo wa marudiano dhidi ya Triangle, ambapo inahitaji kushinda ugenini kwa idadi ya mabao mawili au zaidi ili iweze kusonga mbele katika hatua ya makundi ya michuano hiyo.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali