Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Azam yatamba kuifunza soka Mbeya City

Jumanne , 17th Jan , 2017

Ligi kuu ya Soka Tanzania bara inaendelea Jumatano ambapo vinara wa Ligi Simba SC watakuwa ugenini dhidi ya Mtibwa Sugar Uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro huku Azam FC ikiahidi kuendeleza ubabe wake kwa Mbeya City Uwanja wa Chamazi Dar es salaam.

Kikosi cha Azam kikishangilia ubingwa ubingwa wa Kombe la Mapinduzi

Afisa habari wa Azam FC Jaffary Iddy Maganga amesema, mchezo wa kesho anaamini utakuwa ni mgumu lakini kila kitu ni maandalizi na wamejipanga kwa ajili ya kukabiliana na changamoto katika mchezo huo ili kuhakikisha wanapata ushindi wa nyumbani hapo kesho.

Jaffary amesema mpaka sasa hakuna majeruhi katika kikosi na wanachosubiri kwa sasa ni mchezo huo wakiamini watafanya vizuri kwani wameweza kuzifunga timu kongwe za Simba na Yanga katika michuano ya Kombe la Mapinduzi lililofanyika visiwani Zanzibar.

Jaffary amesema, Kocha Iddy Cheche ataendelea kuwa katika benchi la ufundi mpaka pale vibali vya kocha mpya wa Azam FC Mromania Aristica Cioaba vitakapokamilika.

Dismas Ten - Msemaji wa Mbeya City

Kwa upande wake kocha msaidizi wa Mbeya City Josia Steven amesema, anaamini Azam FC ni kikosi kizuri na wanachangamoto kubwa ya kukabiliana nao lakini wamejipanga vizuri zaidi hivyo Azam FC wasitegemee kuwafunga kama walivyofanya kwa Simba na Yanga katika michuano ya Kombe la Mapinduzi lililofanyika visiwani Zanzibar.

Msikilize hapa Msemaji wa Mbeya City, Dismas Ten

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali